YSA DAR ES SALAAM
Kongamano la Kiroho la Vijana Watu Wazima Wasiooa na Wasioolewa (YSA) litafanyika mwezi Septemba 2026 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kwa lengo la kuimarisha imani ya vijana watu wazima, kujenga urafiki wa kudumu, na kuwahamasisha kumfuata Yesu Kristo.
17 - 18
Septemba 2026
BLUE SAPPHIRE Hotel opposite Ramada Resort, Dar es Salaam, Tanzania. Map address is 8625+P89

