YSA DAR ES SALAAM
Kongamano la Kiroho la Vijana Watu Wazima Wasiooa na Wasioolewa (YSA) litafanyika mwezi Septemba 2026 jijini Dar es Salaam, Tanzania, kwa lengo la kuimarisha imani ya vijana watu wazima, kujenga urafiki wa kudumu, na kuwahamasisha kumfuata Yesu Kristo.
16 - 18
Septiembre 2026
Oasis Village and Club

